WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Thursday, October 4, 2012

SIMBA YANGA HAKUNA MBABE 1 -1



 Ubao wa Matokeo unavyoonekana baada ya kumalizika kwa Dakika tisini za Mchezo wa mzunguko wa kwanza wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya Simba na Yanga uliochezwa usiku wa leo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
 Mshambuliaji wa Yanga,Said Bahanuzi akiwatoka mabeki wa timu ya Simba alipoingia kwenye lango la timu hiyo wakati wa mchezo wa mzunguko wa kwanza wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya Simba na Yanga uliochezwa usiku wa leo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Timu hizo zimetoka sare ya kufungana bao 1-1.
 Didier Kavumbagu wa Yanga akiangalia nani wa kumpatia pasi mbele ya Mabeki wa timu ya Simba wakati wa mchezo wa mzunguko wa kwanza wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya Simba na Yanga uliochezwa usiku wa leo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Timu hizo zimetoka sare ya kufungana bao 1-1.
 .....Hatari langoni mwa timu ya Simbaaa...... 
 Refarii wa mchezo wa huo,Mathew Akrama akitoa kadi nyekundu wa Mchezaji wa Yanga,Simon Msuva (27) baada ya kumchezea rafu Beki wa timu ya Simba,Juma Nyoso (24) alielala chini wakati wa mchezo wa mzunguko wa kwanza wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya Simba na Yanga uliochezwa usiku wa leo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Timu hizo zimetoka sare ya kufungana bao 1-1.
 Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao lao la kusawazisha.
Kipa wa timu ya Simba,Juma Kaseja akiruka juu kudaka mpira uliokuwa ukielekea langoni kwake katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya Simba na Yanga uliochezwa usiku wa leo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Timu hizo zimetoka sare ya kufungana bao 1-1.

10/03/2012 Copyright: Othman Michuzi ~ 





No comments:

Post a Comment