WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Sunday, July 12, 2015

PICHA ZAIDI ZA DR JOHN MAGUFULI MGOMBEA RASMI WA URAIS KWA TIKETI YA CCM



 
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jaaya Kikwete akionyesha kuwa mwenye furaha isiyo kifani baada ya Dk. John Magufui (kulia)  kutangazwa kuwa mshindi, na hivyo kupata ridhaa ya kupeperisha bendera ya CCM kaika uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka huu.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akimkaribisha jukwaani, Mke wa Dk. John Magufuli, Mama Janeth Magufuli
"Hili jembe" akisema Rais Kikwete wakati akiwa na Dk. John Maguli na Mama Janeth Magufuli baada ya matokeo ya uchaguzi wa kumpata mgombea wa CCM yaliyotangazwa na Spika wa Bunge Mama Anna Makinda leo mjini Dodoma
Rais Kikwete akionyesha zaidi furaha yake
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (kushoto) akiwa na Mama Janeth Magufuli, huku Rais Kikwete akiendelea kufurahi
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimpongeza Dk. Magufuli

KABLA YA MATOKEO KUTANGAZWA
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwasalimia wajumbe na wageni waalikwa baada ya kuwasili katika Ukumbi wa kisasa wa mikutano mjini Dodoma leo kwa ajili ya shughuli ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi wa kumpata mgombea Urais kwa tiketi ya CCM ambao ulifanyika jana usiku.Kushoto ni Makamu wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal, Makamu Mwenyekiti wa CCM Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein na kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete baada ya kuwasili katika Ukumbi wa kisasa wa mikutano mjini Dodoma leo kwa ajili ya shughuli ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi wa kumpata mgombea Urais kwa tiketi ya CCM ambao ulifanyika jana usiku.Kushoto ni Makamu wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal, Makamu Mwenyekiti wa CCM Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein na kulia ni Makamu Mwenyekiiti wa CCM Bara, Phlip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihamasisha wajumbe  ukumbini wakati wakisubiri kutangazwa matokeo hayo
Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idi akisoma taaifa ya serikali, kabla ya kutangazwa matokeo hayo
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akijadiliana jambo na Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein wakati yakisubiriwa kutangazwa matokeo hayo. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akieleza utekelezaji wa serikali wa ilani ya CCM wakati yakisubiriwa kutangazwa matokeo ya uchaguzi huo
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete na Katibu Mkuu wa CCM, Abdurahman Kinana wakitafakari mambo mbalimbali wakati wa kusubiri kutangazw amatokeo ya mgombewa urais kwa tiketi ya CCM katika uchagzi mkuu utakaofanyika mwaka huu
Mwimbaji Ali Star akiimba wimbo maalum wa CCM wakati wa shamrashamra a kusubiri matokeo hayo
Wajumbe na waalikwa wajikimwayamwaya ukumbini wakati wakisubiri matokeo hayo
Katibu Mkuu wa CCM mstaafu Mzee Wilson Mukaa akifuatilia hali ya mambo yalivyokuwa ukumbini wakati yakisubiriwa matokeo hayo
Spika wa Bunge Anna Makinda na Spika wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho, wakimkabidhi leo Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete matokeo ya uchaguzi wa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM uliofanyika jana usiku
Spika wa Bunge Anna Makinda akitangaza matokeo hayo baada ya Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete kuyahakiki
Mgombea Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka huu, kwa tiketi ya CCM Dk. John Magufuli (kushoto) wakati akisubiri kutangazwa kwa matokeo hayo
Walinzi wa usalama,  wakiwa wamemzunguka Dk. John Magufuli mara matokeo yalipoonyesha kuwa ameshinda na hivyo kuwa mgombea rasmi wa Urais kwa tiketi ya CCM leo
Dk. Magufuli akiwa 'amezongwa' na walinzi waliokuwa wakimpeleka jukwaani baada ya kuytangazwa kuwa ndiye mshindi
Dk. Magufuli akiwa 'amezongwa' na walinzi waliokuwa wakimpeleka jukwaani baada ya kuytangazwa kuwa ndiye mshindi
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akimsubiri kwa hamu Dk. John Magufuli wakati akipanda jukwaani
 
 
Mgombea Mwenza -CCM Samia Suluhu akifurahi muda mfupi baada ya kuteuliwa na Mgombea Urais-CCM  Dr John Magufuli Kuwa Mgombe Mwenza wake
 

 Mmoja wa waomba kugombea urais kwa tiketi ya CCM, waliotinga tatu bora, Dk. John Magufuli akingia katika ukumbi wa Kisasa wa mikutano wa CCM, mjini Dodoma, wakati wa mkutano mkuu wa CCM, uliofanya uchaguzi leo usiku wa kupata mgombea mmoja wa urais kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. 
Mmoja wa waomba kugombea urais kwa tiketi ya CCM, waliotinga tatu bora, Dk. John Magufuli akiwasalimia wajumbe na waalikwa baada ya kuingia katika ukumbi wa Kisasa wa mikutano wa CCM, mjini Dodoma, wakati wa mkutano mkuu wa CCM, uliofanya uchaguzi leo usiku wa kupata mgombea mmoja wa urais kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Mmoja wa waomba kugombea urais kwa tiketi ya CCM, waliotinga tatu bora, Dk. John Magufuli akicheza jukwaani huku Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akimwangalia, baada ya kuingia katika ukumbi wa Kisasa wa mikutano wa CCM, mjini Dodoma, wakati wa mkutano mkuu wa CCM, uliofanya uchaguzi leo usiku wa kupata mgombea mmoja wa urais kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu
Mmoja wa waomba kugombea urais kwa tiketi ya CCM, waliotinga tatu bora, Dk. John Magufuli akijitambulisha jukwaani kwa wajumbe na wageni waalikwa baada ya kuingia katika ukumbi wa Kisasa wa mikutano wa CCM, mjini Dodoma, wakati wa mkutano mkuu wa CCM, uliofanya uchaguzi leo usiku wa kupata mgombea mmoja wa urais kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu
Mmoja wa waomba kugombea urais kwa tiketi ya CCM, waliotinga tatu bora, Dk. John Magufuli akisalimiwa na Meya wa Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, Jery Silaa, baada ya kuingia katika ukumbi wa Kisasa wa mikutano wa CCM, mjini Dodoma, wakati wa mkutano mkuu wa CCM, uliofanya uchaguzi leo usiku wa kupata mgombea mmoja wa urais kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akifurahiwa na wajumbe wa mkutano huo, wakati akihamasisha jukwaani.
Huyu ndiyo, Dk. John Magufuli, akiwa mwenye sura ya furaha wakati yupo ukumbini, wakati wa mkutano huo. 
Familia au watoto wa Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete ni miongoni mwa wageni waalikwa waliohudhuria mkutano huo.
Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete akiwasili ukumbini huku akiwa amejawa na furaha wakati wa mkutano huo.
Baadhi ya wake wa viongozi wakiwa ukumbini wakati wa mkutano huo.
Aliyekuwa muomba kuteuliwa na CCM kuwania Urais, Waziri Mkuu wa zamani, Edrward Lowassa, akimsikiliza Mbunge wa Kigoma  mjini ambaye anaelezwa kuwa mdau wake wa karibu, Peter Serukamba, wakati akimweleza jambo wakati wa mkutano huo.
Aliyekuwa mwomba ridhaa ya CCM kuwania Urais, Januari Makamba ambaye pia alifanikiwa kuingia tano bora, akimsalimia mke wa Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, Siti Mwinyi, wakati wa mkutano huo.
Wajume wakifuatilia hatua kwa hatua, mambo yalivyokuwa yakijiri wakati wa mkutano huo.
Mmoja wa waomba kugombea urais kwa tiketi ya CCM, waliotinga tatu bora, Dk. John Magufuli akiomba kura kwa wajumbe wakati wa mkutano huo.
Mmoja wa waomba kugombea urais kwa tiketi ya CCM, waliotinga tatu bora, Dk. John Magufuli akiomba baraka kwa Mama Fatma Abeid Amani Karume, wakati wa mkutano huo.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akizungumza na aliyekuwa muomba ridhaa ya CCM kuwania Urais, Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, baada ya kumfuata alikokuwa ameketi wakati wa mkutano huo.
Mmoja wa waomba kugombea urais kwa tiketi ya CCM, waliotinga tatu bora, Dk. John Magufuli akimsalimia Mama Anne Kilango Malecela, ukumbini.
Mmoja wa waomba kugombea urais kwa tiketi ya CCM, waliotinga tatu bora, Dk. John Magufuli akiwasalimia watoto wa Rais Jakaya Kikwete, ukumbini wakati wa mkutano huo.
Waziri Mkuu wa zamani, Jaji Mstaafu, Joseph Warioba akimsalimia Lowassa, wakati wa mkutano huo
Jaji Mstaafu Joseph Warioba akizungumza na Lowassa
 
source: haki ngowi
 

No comments:

Post a Comment