WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Friday, October 26, 2012

Rais Wa Zanzibar Dk Ali Shein Ahutubia Baraza la Eld El Hajj



  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana na Kamishna wa Polisi Zanzibar Mussa Ali Mussa,baada ya kupokea salamu ya Hesha ya gwaride la Kikosi cha Polisi FFU,leo alipowasili katika viwanja vya Salama Bwawani Hotel, akiwa mgeni rasmi kulihutubia Baraza la EID EL HAJJ Leo.
   Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akipokea salamu ya heshma ya kikosi cha polisi FFU,alipowasili katika viwanja vya Salama Bwawani Hotel,akiwa mgeni rasmi katika Baraza la EID EL HAJJ Leo.
 Baadhi ya askari wa Kikosi cha Polisi cha FFU wakitoa salamu ya heshma ya Gwaride kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,alipowasili katika viwanja vya Salama Bwawani Hotel, akiwa mgeni rasmi kulihutubia Baraza la EID EL HAJJ Leo
  
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Viongozi alipowasili katika Viwanja vya Salama Bwawani kuhutubia Baraza la EID El Hajj,lililofanyika leo


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana  na Viongozi na Kinamama baada ya kuwahutubia wananchi katika Baraza la Eid El Hajj. Leo katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Zanzibar.
  Wananchi na waislamu wa Zanzibar ,wakike na wa kiume wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na wananchi na waumini wa Dini ya Kiislamu katika baraza la Eid El Hajj,huko Ukumbi wa salama Bwawani Hotel Mjini Zanzibar leo.
  
Baadhi ya Maw\aziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,yenye mfumo wa Umoja wa Kitaifa, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein, alipokuwa akizungumza na wananchi na waumini wa Dini ya Kiislamu katika baraza la Eid El Hajj,huko Ukumbi wa salama Bwawani Hotel Mjini Zanzibar leo.

   Wananchi na waislamu wa Zanzibar ,wakike na wakiume wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na wananchi na waumini wa Dini ya Kiislamu katika baraza la Eid El Hajj, huko Ukumbi wa salama Bwawani Hotel Mjini Zanzibar leo.

  Mawaziri Wanawake wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yenye mfumo wa Umoja wa Kitaifa,wakimsikiliza Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na wananchi na waumini wa Dini ya Kiislamu katika baraza la Eid El Hajj,huko Ukumbi wa salama Bwawani Hotel Mjini Zanzibar leo.

 
Baadhi ya Wananchi na Waislamu wakijipatia vitafunio baada ya kumalizika Baraza la Eid El Hajj, lililohutubiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Zanzibar Leo.

Picha na Ramadhan Othman,Ikulu-Zanzibar
habari na Haki Ngowi Blog

No comments:

Post a Comment