WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Sunday, October 14, 2012

Kaskazini Unguja Watoa Maoni Katiba Mpya


 

 Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba (aliyesimama) akizungumza
na wananchi wa kijiji cha Kidombo Wilaya ya Kaskazini A Mkoa wa Kaskazini Unguja wakati wa mkutano
ulioitishwa jana tarehe 13 Oktoba, 2012 na Tume hiyo kuhusu mchakato wa Mabadiliko ya Katiba
kijijini hapo. Wengine pichani (kutoka kulia) ni Wajumbe wa Tume hiyo, Joseph Butiku (kulia), Profesa
Paramagamba Kabudi, Katibu wa Tume, Assaa Rashid na Naibu Katibu Casmir Kyuki.


 Wananchi wa Kijiji cha Kidombo Wilaya ya Kaskazini A Mkoa wa Kaskazini Unguja, Zanzibar
wakifuatilia kwa makini mkutano ulioitishwa jana tarehe 13. Oktoba, 2012 na Tume ya Mabadiliko ya
Katiba kijijini hapo wenye malengo ya kukusanya maoni yao kuhusu mchakato wa Mabadiliko ya Katiba.

  Bw. Yusuph Juma (60) mkazi wa Kijiji cha Kidombo Wilaya ya Kaskazini A Mkoa wa Kaskazini Unguja,
Zanzibar akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya wakati wa mkutano ulioitishwa jana tarehe 13.
OOktoba, 2012 na Tume ya Mabadiliko ya Katiba kijijini hapo.

 Bw. Said Haji Makame (21), mkazi wa kijiji cha Kidombo Wilaya ya Kaskazini A Mkoa wa Kaskazini
Unguja, Zanzibar akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya wakati wa mkutano ulioitishwa jana tarehe 13.
Oktoba, 2012 na Tume ya Mabadiliko ya Katiba kijijini hapo.

Bi. Tatu Maalim Mganga (65) mkazi wa kijiji cha Kidombo Wilaya ya Kaskazini A Mkoa wa Kaskazini
Unguja, Zanzibar akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya wakati wa mkutano ulioitishwa jana tarehe 13
Oktoba, 2012 na Tume ya Mabadiliko ya Katiba kijijini hapo.

3 comments:

  1. Good article. I definitely love thiѕ sitе. Stick ωith it!


    Feel free to surf tо my hοmeрage interѕpοrt гacіng
    alms :: 31163D.Mjmp.in ::

    ReplyDelete
  2. It's going to be ending of mine day, except before ending
    I aam reading this impressive post too improve my experience.



    Revieew my blog; performance cars ()

    ReplyDelete
  3. My brother suggested I may like this web site. He used to be entirly right.

    This post actually made my day. You can not believe simply how much time
    I had spent for this info! Thanks!

    Feel free to surf to myy web page - endurance building supplement

    ReplyDelete