WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Thursday, October 11, 2012

Uzinduzi wa waya wa umeme Fumba


  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Alfonso Lenhardt, wakati wa hafla ya uzinduzi wa waya wa umeme wa megawati 100 huko Fumba Zanzibar


2. Rais wa Zanzibar, Makamu wa Kwanza wa Rais, Makamu wa Pili wa Rais na viongozi wengine wakiwa katika picha ya pamoja baada ya uzinduzi wa waya wa umeme wa megawati 100 huko Fumba Zanzibar.
  Viongozi mbali mbali wa kitaifa wakiangalia uzinduzi wa waya mkubwa wa umeme huko Fumba
  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum Mhe. Mansoor Yussuf Himid huko Fumba, wakati wa uzinduzi wa waya wa umeme wa megawati 100
Viongozi wa Kitaifa wakiwa pamoja na watendaji wa ZECO katika hafla ya uzinduzi wa Waya wa Umeme wa Megawati 100 huko Fumba.(Picha na Salmin Said, OMKR

No comments:

Post a Comment