WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Saturday, October 13, 2012

Uharibifu Uliosababishwa Na Waislamu Mbagala


 

 Mawe yametoboa vioo vingi
 Katika madhabahu, pameharibiwa

 Mabenchi yamepinduliwa na kuvunjwa
 Mimbari imechomwa na kuharibiwa



 Ofisi ya Kanisa imechomwa moto
 Wachungaji wa kanisa hili wakisubiria taarifa kutoka polisi
 Hawa wanafanya maombi na nimesikia wakiwaombea Waislamu Mungu awasamehe
 Vifaa vya uimbaji vimechomwa moto
 Washarika wakiwa kanisani kwao asubuhi hii
 Gari la mchungaji pia limeharibiwa kabisa

 Ofisi ya mchungaji na mwinjilisti zimeharibiwa kabisa
Kushoto ni msikiti walipotokea Waislamu kabla ya kuvamia kanisa kulia. Nyumba hizi za ibada ziko jirani zikitenganishwa na barabara tu

No comments:

Post a Comment