WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Saturday, October 13, 2012

Askofu Malasusa Awatuliza Wakristo Mbagala



 Askofu mkuu wa KKKT Alex Malasusa akiwaasa wakristu kuwa watulivu wakati huu wakati mamlaka za dola zikishughulikia swala hili,wakati huu wadumu katika maombi na wawasamehe ndugu zao waislamu. na kuwaombea.Mungu atawapigania



waumini wakiwa katika maombi na huyu akilia kwa uchungu
Mchungaji wa TAGP akiongoza maombi wakristo wakiwaombea waislamu.Mpaka muda huu hakuna kiongozi yeyote wa serikali ameshafika eneo la matukio na uongozi wa kanisa unawasubiria viongozi wa kiserikali

No comments:

Post a Comment