WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Wednesday, October 17, 2012

DK. SHEIN AWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU MAKATIBU WAKUU WA WIZARA ZANZIBAR LEO


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein akimuapisha Mohd Said Mohd kuwa Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi katika hafla iliofanyika Ikulu Mjini Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein akimuapisha Bi Mtumwa Kheir Mbarak kuwa Naibu Waziri wa Kilimo na Maliasili katika hafla iliofanyika Ikulu Mjini Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein akimuapisha Twahir M. Abdulla kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano katika hafla iliofanyika Ikulu Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein akimuapisha Mustafa Aboud Jumbe kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Makaazi Maji na Nishati katika hafla iliofanyika Ikulu Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein akimuapisha Julius Maziku kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi katika hafla iliofanyika Ikulu Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein akimuapisha Juma Ameir Hafidh kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Fedha Uchumi na Mipango ya Maendeleo katika hafla iliofanyika Ikulu Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein akiwa katika Picha ya Pamoja na Mawaziri na Manaibu Makatibu wakuu aliowaapisha leo Ikulu Mjini Zanzibar. PICHA ZOTE NA YUSSUF SIMAI ALI-MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment