WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Wednesday, March 12, 2014

SAMWEL SITTA ASHINDA KUWA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA

samuel_2e1e1.jpg

Mh.samweli sitta ameshinda nafasi ya mwenyekiti wa bunge la katiba kwa kura 487 na hashim rungwe kapata69 walio piga kura jumla ni566 kula zilizo alibika ni 7.

source: mjengwa blog

No comments:

Post a Comment