WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Sunday, March 9, 2014

LIVE SCORE: AL AHLY 1 - 0 YANGA (Penati 4-3) AL AHLY WANAPITA - YANGA WANATOKA



Al Ahly wanapata penati 4 - 3 Young Africans
Waliopata Yanga Didier, Canavaro, Okwi huku waliokosa ni Oscar, Bahanuzi na Twite.
Al Ahly wanafuzu hatua ya 16 boraMIKWAJU YA PENATI

Al Ahly Wamepata penati 4 - Waarab wanapita 

YANGA Yanga wamepata penati 3  

Mpira umemalizika, Al Ahly 1 - 0 Young Africans
Aggrigate 1-1
Kinafuata penati

Dk 90 zimekamilika na refa anaongeza dakika 5 za nyongeza
Domayo alikuwa na nafasi nzuri ya kuisawazishia Yanga lakini anakosa - dk 89
Dk 85 Al Ahly 1 - 0 Yanga
Goli limewaamsha zaidi Al Ahly sasa wanalishambulia zaidi lango la Yanga ambao wapo nyuma wakilinda goli.  Dakika 78
Dakika ya 70, Al Ahly wanapata bao la kwanza

Dk 67 Al Ahly wanapata kona lakini Yanga wanaokoa

Chuji anaiingia kuchukua nafasi ya Ngasa,

Dk 54 Yanga wanakosa bao la wazi, Simon Msuva anakosa umakini katika lango la maadui

Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Al Ahly 0 - 0 Young Africans
Mpira ni mapumziko Yanga 0-0 Al Ahly

Ddk 40: Waarab wapo golini kwa Yana kwa muda mwingi, huku Yanga wakifanya mashambulizi ya kushtukiza, mpira bado bila bila

k 35 Cannavaro amepewa kadi ya njano, faulo inapigwa nje ya eneo la hatari la Yanga lakini golikipa Dida anadaka.
 
source: shaffih Dauda Blog

No comments:

Post a Comment