
Mwili wa Marehemu Albert Mangwea
uliowasili mchana huu kutokea nchini Afrika ya Kusini.

Wadau mbalimbali

Wadau
mbali mbali wakiwa wamekusanyika kwa wingi kwenye uwanja wa Ndege
Julius Nyerere kwa ajili ya kuupokea Mwili wa Marehemu Albert Mangwea
uliowasili mchana huu kutokea nchini Afrika ya Kusini.

Baadhi ya mashabiki na wasanii waliojitokeza kuupokea mwili wa marehemu
Albert Mangwea aliyekuwa mwanamuziki wa kizazi kipya. R.I.P Ngwea.
Ilikuwa ngumu kuzuia hisia...



Sehemu ya Wananchi na wapenzi wa
Mwanamuziki Marehemu Albert Mangwea wakisukuma gari lilobeba mwili ake
muda mfupi baada ya kuwasili jijini Dar es salaam ukitokea afrika ya
kusini

Rafiki kipenzi wa Marehemu Albert Mangwea,Jay Mo akihojiwa na vyombo vya habari uwanjani hapa.

Prof. Jay nae alipata wasaha wa kuongea na vyombo vya habari juu ya Msanii mwenzao Albert Mangwea alietangulia Mbele ya haki.

Wadau kibao wapo uwanjani hapa hivi sasa tayari kwa kuupokea Mwili wa Marehemu Mangwea.KWA PICHA ZAIDIBOFYA HAPA AU BOFYA HAPA NA HAPA
source: haki ngowi
No comments:
Post a Comment