WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Thursday, November 1, 2012

POLISI WAIMARISHA ULINZI WAKATI KATIBU WA JUMUIYA YA TAASISI ZA KIISLAMU ALIPOFIKISHWA MAHAKAMANI LEO


Katibu wa Taasisi za Jumuiya za Kiislamu, Sheikh Issa Ponda akiwa chin ya ulinzi wakati alipofikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo. Sheikh Ponda anakabiliwa na kosa la kuvamia kiwanja.
Polisi wakiwa wameimarisha ulinzi nje ya jengo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo wakati Katibu wa Taasisi za Jumuiya za Kiislamu, Sheikh Issa Ponda alipofikishwa mahakamani
Baadhi ya watu wakikaguliwa kabla ya kuingia katika Mahakama ya Kisutu leo
Mahojiano yalifanyika kwa kila mtu aliyekuwa akiingai mahakamani leo

No comments:

Post a Comment