WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Thursday, November 29, 2012


ZANZIBAR HEROES KIBOKO YA AKINA NIYONZIMA - WAWAPIGA MBILI MTUNGI

Mfungaji wa goli la kwanza la timu ya Zanzibar Heroes akiambaa na mpira huku mabeki wa timu ya Rwanda wakijaribu kumzuia wakati wa mchezo wa mashindano ya Cecafa Challenge uliochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela uliopo Nambole nchini Uganda

Wachezaji wa Zanzibar Heroes wakishangilia goli wakati wa mchezo dhdi ya timu ya Rwanda uliochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela uliopo Nambole nchini Uganda katika mashindano ya Cecafa Challenge

source: shaffih Dauda.blog

No comments:

Post a Comment