WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Wednesday, November 28, 2012

Rais wa Zanzibar Dk. Shein Arejea Ziarani Nchi Veitinam



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Ali Mohamed Shein, alipowasili uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume akivishwa shada la maua
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akimuelezea jambo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, akitokea ziarani nchi Vietinam.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Viongozi wa Serekali waliofika kumpokea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume.

Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Abdalla Mwinyi Khamis na Meya wa Mji wa Zanzibar Khatib Abrahaman, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuwasili Zanzibar.
 Waandishi wa habari wakimsikiliza  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumzia ziara yake Nchini Vietinam na mafanikio ya ziara hiyo kwa Zanzibar na Wananchi wakev katika sekta ya Biashara na Uvuvi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar baada ya kuwasili katika Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amamaan Karume. akirejea katika ziara yake ya Kiserekali Nchini Vietinam.

No comments:

Post a Comment