WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Sunday, March 24, 2013

Taifa Stars- Tunakwenda Brazil 2014

starz 13daa
Ni kama utabiri wangu haukuwa mbali na ukweli Yes!.. tumeshinda kwa Goli 3-1 , ila mimi nilitabiri toka asubui ya leo tutashinda 2-1, sio mbaya hapa naona nimetabiri ukweli maana nimetabiri ushindi.

Kwakweli mmenipa raha Leo naamini bado tuna safari ngumu ila ushindi pia ni lazima. kwangu mimi wote ni bora si samatta  pekee nawapongeza wachezaji na benchi la ufundi maana hata angekuwa samatta peke yake asingetupa ushindi ila naamini kwa mchango wa wachezaji wenzake na benchi la ufundi ndio ushindi umepatikana hii ni chachu kwa wachezaji wanaocheza ligi ya hapa nyumbani.

Mwisho wa ushindi huu ni mwanzo wa maandalizi ya ushindi mwingine

Capt Mkami Jr

source: Mjengwa Blog

No comments:

Post a Comment