WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Friday, March 22, 2013

Mzee Kingunge Ngombale Mwiru alazwa Muhimbili; Rais Kikwete amjulia hali

Mhe. Kingunge Ngombale Mwiru aliyepumzishwa katika chumba cha dharura katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Mzee Kingunge alikimbizwa Hospitalini hapo baada ya kujisikia vibaya.

Jopo la madaktari bingwa linamfanyia uchunguzi Mzee Kingunge ili kubaini ugonjwa unaomsumbua. 
Picture
Rais Kikwete na Mkewe Mama Salma leo wamemjulia hali Mhe. Kingunge Ngombale Mwiru. Aliyesimama Nyuma ya Rais ni mke wa Mzee Kingunge na kushoto ni mtoto wa Mzee Kingunge, Kinjekitile. (Picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment