WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Friday, March 8, 2013

musalia mudavadi akubali kushindwa uraisi kenya


1 3b61f

Ametangaza kukubali kushindwa,amewapongeza wanachama wa muungano wao waliochaguliwa ,na ameomba Raila Na Uhuru wafanye kila kinachowezekana kutunza amani na utulivu na kujizuia kutoa kauli zinazoweza kuleta utata.na ametoa wito maalumu kwa tume ya uchaguzi kutofanya kitu chochote kitakacholeta mkanganyiko.

source: mjengwa blog 

No comments:

Post a Comment