WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Friday, February 8, 2013

SIKU ZA MWISHO ZA ASKOFU LAIZER


  • photo1 c00d3
Hapa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Kati Thomas Leizer, katika siku za mwisho za uhai wake, akiwa chumba cha uangalizi maalum (ICU). Pamoja naye ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema. Picha hii ilipigwa Jumapili ya wiki iliyopita, ambapo viongozi hao walifika kumjulia hali kiongozi huyo wa kidini aliyefariki jana mchana, baada ya kuugua kwa kuda mrefu na kulazwa katika Hospitali ya Selian Hospital Arusha Centre.
photo db713
source: Mjengwa blog

    No comments:

    Post a Comment