WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Thursday, February 28, 2013

neno la leo;elimu

Photo: Neno Fupi La Usiku Huu: Elimu
Ndugu zangu,
Napenda usiku huu nitaje matatu tu miongoni mwa ninayoamini kuwa ni malengo ya nchi kwenye elimu ;
- Kuimarisha Umoja wa Kitaifa na kupunguza pengo la walio na wasio nacho.
-Kuwaendeleza walioelimika kuwa raia wema.
-Kuendeleza uchumi wa nchi.
Na elimu ni nini hasa? 
Jibu; ni shughuli yenye maana na tija kwa anayeifanya. Ni sharti iwe na dhumuni na malengo. 
Ndio, ni shughuli muhimu sana kwa mwananamu na nchi. Na kwa nchi,   ni shughuli yenye gharama.
Na hakuna nchi yeyote duniani iliyopiga hatua za maana kwenye kinachoitwa maendeleo bila kuwekeza kwa wingi kwenye elimu. Hivyo, elimu ndicho kitu cha kwanza.
Na hilo ni Neno Fupi la Usiku Huu.
Maggid Mjengwa,
Iringa
0788 111 765
<a href=
Ndugu zangu,
Napenda usiku huu nitaje matatu tu miongoni mwa ninayoamini kuwa ni malengo ya nchi kwenye elimu ;
- Kuimarisha Umoja wa Kitaifa na kupunguza pengo la walio na wasio nacho.
-Kuwaendeleza walioelimika kuwa raia wema.
-Kuendeleza uchumi wa nchi.

Na elimu ni nini hasa?
Jibu; ni shughuli yenye maana na tija kwa anayeifanya. Ni sharti iwe na dhumuni na malengo.

Ndio, ni shughuli muhimu sana kwa mwananamu na nchi. Na kwa nchi, ni shughuli yenye gharama.

Na hakuna nchi yeyote duniani iliyopiga hatua za maana kwenye kinachoitwa maendeleo bila kuwekeza kwa wingi kwenye elimu. Hivyo, elimu ndicho kitu cha kwanza.

Na hilo ni Neno la Leo
Maggid Mjengwa,
Iringa
0788 111 765
http://mjengwablog.co.tz/

No comments:

Post a Comment