WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Wednesday, February 20, 2013

RAIS MOHAMED SHEIN AONGOZA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZISHI YA FR. EVARIST MUSHI HUKO KITOPE JIONI HII


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza La Mapinduzi akiwa na Askofu Augustine Shao askofu wa Jimbo kuu Katoliki Zanzibar wakielekea kwenye mazishiya Marehemu Fr. Evarist Mushi katiI ka  makaburi ya Kitope wilaya ya Kaskazini B Unguja


Wananchi wa Zanzibar ambao wamehufhuria mazishi ya Fr. Evarist Mushi wakishusha Jeneza lenye mwili wa  Fr. Evarsit Mushi katika Nyumba yake ya Milele  leo katika makaburi ya Kitope wilaya ya Kaskazini B Unguja




Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza La Mapinduzi akiweka udongo  katika kaburi la Marehemu Fr. Evaris Mushi katika mazishi yaliyofanyka leo katika makaburi ya Kitope wilaya ya Kaskazini B Unguja


Waziri wa mambo ya Ndani Mheshimiwa Dr. Emmanuel Nchimbi akiweka udongo katika Kaburi lwa marehemu Fr. Evarist Mushi katika mazishi ambayo yamefanyika leo huko Kitope wilaya ya Kaskazini B Unguja





Askofu Mkuu  wa jimbo kuu la Dar es salaam Muadhama Policup Pengo pamoja na Maaskofu wengine wakichomeka msalaba katika kaburi la Marehemu Fr. Evarist Mushi katika makaburi ya Kitope wilaya ya Kaskazini B Unguja


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza La Mapinduzi akiweka shada la Maua katika kaburi la Marehemu Fr. Evaris Mushi katika mazishi yaliyofanyka leo katika makaburi ya Kitope wilaya ya Kaskazini B Unguja




waombolezaji wakifuatilia mazishi ya Fr. Evarist Mushi jioni hii huko Kitope wilaya ya Kaskazini B Unguja

Picha kwa Hisani ya: Mtaa kwa Mtaa blog

No comments:

Post a Comment