WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Sunday, February 17, 2013

NENO LA LEO- PADRI HAUAWI, HATA SHEIKH PIA.


pedre 65d50
Padre Ambrose,aliyepigwa risasi hivi karibuni
One Does Not Kill A Priest, Not A Sheikh Either!


Ndugu zangu,
Nimepokea kwa masikitiko makubwa habari za kuuawa kwa Padri Mushi wa Kanisa la Minara Miwili huko Zanzibar asubuhi ya leo. 

Tumelelewa tukiamini, kuwa hakuna atakayethubutu kumpiga risasi Padri au Sheikh.


Kwa nini sasa

Hakika, sote bila kujali tofauti zetu za kiimani, tuna lazima ya kuukemea uovu huu. Na mamlaka husika zihakikishe hakuna kinachoachwa bila kugeuzwa hadi waovu waliohusika na uovu huu watiwe nguvuni.

Maggid Mjengwa,
Iringa.

No comments:

Post a Comment