WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Wednesday, April 30, 2014

RAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI ARUSHA

Rais  Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Arusha(AICC) kwenye mkutano
wa 12 wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika mjini
Arusha.Rais Kenyatta ndiye mwenyekiti wa jumuiya hiyo ya wnanachama watano.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Rais
Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda wakijadiliana jambo kabla ya ufunguzi wa
Mkutano wa siku moja wa  wakuu wa nchi za  Jumuiya ya Afrika Masharariki
uliofanyika mjini Arusha leo(picha na Freddy Maro).
 
source: blog ya mwananchi

No comments:

Post a Comment