WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Tuesday, April 15, 2014

BUNGE MAALUM LA KATIBA

razaa3_b099a.jpg
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba James Mbatia (kushoto), Mohamed Raza( wa pili kushoto) , Profesa Ibrahim Lipumba (wa pili kulia) na Freeman Mbowe(kulia) wakibadlishana mawazo leo mjini Dodoma wakati wa kikao cha ishirini na mbili cha Bunge Maalum la Katiba.
sitta2_35888.jpg
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta akisalimia wajumbe wa Bunge hilo  mara baada ya kikao kuharishwa leo mchana mjini Dodoma.
wajumbe3_9e965.jpg

Baadhi wa wajumbe wa Bunge la Katiba wakitoka ukumbini baada ya kikao kuharishwa leo mchana mjini Dodoma
source: mjengwa blog

No comments:

Post a Comment