WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Friday, April 11, 2014

LIONS CLUB YAMTUNUKU JK MEDALI YA DHAHABU

D92A2779_cbaf2.jpg
Gavana wa shirika la Lions Club nchini bwana Wilson Ndesanjo akimvika Raisi JKmedali maalum ya uongozi  Bora na mahusiano mema wakati wa hafla fupi iliyofanyika ikulu Jijini Dar es salaam leo
D92A2810_0a8d8.jpg
Raisi JK akiwa katika Picha ya pamoja na viongozi wa Club y Lions waliofika Ikulu Jijini Dar es salaam leo kushiliki hafra ya kumtunuku Raisi medali maalum ya Uongozi bora na mahusiano mema.(Awadh Ibrahim)

source: mjengwa blog

No comments:

Post a Comment