WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Saturday, January 19, 2013

YANGA YA WAPYATUA WATOTO WA KWAMADIBA 3 KWA 2 TEGETE BADO MWIBA


Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima (kulia) akijaribu kumhadaa beki wa Black Leopard, Ernort, wakati wa mchezo wa kirafiki wa kimataifa wa kirafiki, unaoendeea muda huu katika Uwanja wa Taifa. Hadi sasa Yanga inaongoza kwa mabao 3-1, bao la pili la Yanga limefungwa na Frank Dumayo na bao la tatu limewekwa kimiani na Jerry Tegete katika kipindi cha pili.

Kikosi cha Yanga. Timu ya Yanga inaongoza kwa bao 1-0 bao lililofungwa na Jerry Tegete, kwa mkwaju wa penati, baada ya mchezi wa Yanga, Haruna Niyonzima, kuangushwa katika eneo la hatari, wakati akiwatoka mabeki wa Black Leopards.
Kikosi cha Black Leopards.
Mchezaji wa Yanga, Kabange Twite (kushoto) akimiliki mpira huku akidhibitiwa na beki wa Black Leopards, Nkosiabo Xakane, wakati wa mchezo huo.
Mashabiki wa Yanga, wakishangilia bao lililofungwa na Jerry Tegete

source vijimambo blog

No comments:

Post a Comment