WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Friday, January 25, 2013

DKT.SHEIN AHUDHURIA MAULID


    IM 6380
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar
Othman Makungu, alipowasili katika viwanja vya Maisara katika sherehe
za Maulid ya kuzaliwa Bwana Mtume Muhamad (S.A.W) yaliyofanyika jana,
na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk.Amani Abeid Karume,(katikati).[Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.]


IMG_6367
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maulid EL Nabii Zanzibar Sheikh Khamis Haji
Khamis,alipowasili katika viwanja vya Maisara katika sherehe za Maulid
ya kuzaliwa Bwana Mtume Muhamad (S.A.W) yaliyofanyika jana.[Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.]
IM   6404
Ustadh Rashid Jaffer wa Magogoni Mjini Zanzibar,akisoma
Quran Tukufu ya Ufunguzi wa Maulid ya Kuzaliwa Bwana Mtume Muhammad
(S.A.W) yaliyosomwa jana katika Viwanja vya Maisara Mjini
Zanzibar,ambapo kila mwaka hufanyika Maulid kama hayo na kuhudhuriwa
na maelfu ya Wumini wa Dini ya Kiislamu. [Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.]
IM   6412
Ustadh Abdulla Hamad wa Chuo cha Kiislamu,akitoa
tafsiri ya Aya za Quran,zilizosomwa na Ustadh Rashid Jaffer wa
Magogoni Mjini Zanzibar,akisoma Quran Tukufu ya Ufunguzi wa Maulid ya
Kuzaliwa Bwana Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyosomwa jana katika Viwanja
vya Maisara Mjini Zanzibar,ambapo kila mwaka hufanyika Maulid kama
hayo na kuhudhuriwa na maelfu ya Wumini wa Dini ya Kiislamu. [Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.]
IM 6374
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana na Viongozi wa Jumuiya ya Maulid
EL Nabii Zanzibar,alipowasili katika viwanja vya Maisara katika
sherehe za Maulid ya kuzaliwa Bwana Mtume Muhamad (S.A.W)
yaliyofanyika jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment