WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Tuesday, January 22, 2013

RAIS KIKWETE AKUTANA NA VIONGOZI MBALIMBALI WA UFARANSA


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Rais wa Seneti ya Ufaransa, Mhe. Jean Pierre Bel, alipotembelea makao makuu yake jijini Paris.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa zawadi kwa Rais wa Seneti ya Ufaransa, Mhe. Jean Pierre Bel, alipotembelea makao makuu yake jijini Paris.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake wakiongea na Rais Mstaafu wa Ufaransa, Mhe. Valery Giscard d'Estaing na ujumbe wake katika hafla ya chakula cha usiku alichoandaa Rais huyo Mstaafu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tanzania Wildlife Foundation jijini Paris.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika mazungumzo na Kiongozi wa Jumuiya ya Ismailia duniani HH The Aga Khan alipomtembelea Hotel le Meurice jijini Paris.

(PICHA NA IKULU)

No comments:

Post a Comment