WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Thursday, January 31, 2013

DKT.SHEIN AZINDUA MAADHIMISHO KUZALIWA CCM



Makamu Mwenyekiti wa CCM ambae pia ni Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein akivishwa Skaf na Mtoto Chipukizi Pili Hassan Suluhu mara baada ya kuwasili katika Viwanja vya Makao Makuu ya CCM Kisiwa Ndui kwa ajili ya Kufanya Uzinduzi wa Sherehe za Miaka 36 ya Kuzaliwa kwa CCM,ambapo Kilele chake kitafanyika Huko Kigoma Tanzania Bara.


Makamu Mwenyekiti wa CCM ambae pia ni Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein akitoa Hotuba katika Uzinduzi wa Sherehe za Miaka 36 ya Kuzaliwa kwa CCM, Makao makuu ya Chama hicho Kisiwa Ndui Zanzibar. Kushoto yake ni Naibu katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai na kulia yake ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Kichama Borafya Silima Juma.
Naibu katibu Mkuu CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai akitoa hotuba ya Kumkaribisha Makamo Mwenyekiti wa CCM ambae pia ni Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein  katika Uzinduzi wa Sherehe za Miaka 36 ya Kuzaliwa kwa CCM, Makao makuu ya Chama hicho Kisiwa Ndui Zanzibar.
Makamu Mwenyekiti wa CCM ambae pia ni Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein  akikabidhiwa Vifaa mbalimbali vya Mchezo wa Mpira wa Miguu kwa ajili ya Mashindano maalum ya Ligi ya Timu za CCM Itakayo anza kutimua vumbi hapo kesho Kiwanja cha Amani ikiwa ni Shamra shamra za Sherehe ya kutimia Miaka 36 ya Kuzaliwa kwa CCM, Makao makuu ya Chama hicho Kisiwa Ndui Zanzibar.

Makamu Mwenyekiti wa CCM ambae pia ni Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein  kulia akimkabidhi Mipira na Vifaa mbalimbali vya Michezo Mwenyekiti wa Kamati ya Michezo Mkoa wa Mjini  Ali Othman Said kwa ajili ya Ligi ya Timu za CCM Itakayo anza kutimua vumbi hapo kesho Kiwanja cha Amani ikiwa ni Shamra shamra za Sherehe ya kutimia Miaka 36 ya Kuzaliwa kwa CCM, Makao makuu ya Chama hicho Kisiwa Ndui Zanzibar.
Vijana wa CCM wakiimba Wimbo Maalum wa Kuzaliwa kwa Chama CCM katika Uzinduzi wa Sherehe za Miaka 36 ya Kuzaliwa kwa Chama hicho, kwenye Makao makuu ya Chama  Kisiwa Ndui Zanzibar.
Vijana wa CCM wakiimba Wimbo Maalum wa Kuzaliwa kwa Chama CCM katika Uzinduzi wa Sherehe za Miaka 36 ya Kuzaliwa kwa Chama hicho, Makao makuu ya Chama  Kisiwa Ndui Zanzibar. (PICHA NA YUSSUF SIMAI -MAELEZO ZANZIBAR).

No comments:

Post a Comment