WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Thursday, October 31, 2013

RUFAA YA BABU SEYA, PAPII KOCHA KILICHOBAKI HUKUMU

babuseyarufaa3_93851.jpg
Nguza Viking 'Babu Seya' (kulia) na mwanaye Johnson Nguza 'Papii Kocha' wakitoka mahakamani kwa furaha.
babuseyarufaa1_c9aa8.jpg
Nguza Viking 'Babu Seya' (wa pili kulia) na mwanaye Johnson Nguza 'Papii Kocha' (wa pili kushoto) wakiwa mahakamani.
babuseyarufaa3_1_3a090.jpg
Babu Seya na Papii Kocha wakiwa na furaha nje ya mahakama.

Baada ya majaji wa Mahakama ya Rufaa jijini Dar es Salaam kupitia hoja za mawakili wa serikali na utetezi kwenye Rufaa ya hukumu ya kifungo cha maisha jela katika kesi iliyokuwa ikimkabili mwanamuziki Nguza Viking 'Babu Seya' na mwanaye Johnson Nguza 'Papii Kocha', wameamua kuhairisha rufaa hiyo mpaka tarehe husika ya kutoa hukumu ya kesi hiyo
itakapopangwa hapo baadaye.

(Picha na Richard Bukos / GPL) (P.T)

source: mjengwa blog

No comments:

Post a Comment