WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Thursday, May 1, 2014

HADHA YA FOLENI KUSAHAULIKA DAR ES SALAAM

20140425_094805_3e3b6.jpg
Tunategemea baada ya kukamilika kwa mladi wa Barabara za Magari yaendayo kwa kasi hadha ya foreni ambayo ni tatizo kubwa katika Jiji la Dar es salaam itapungua au itakwisha kabisa kwani wakazi wa Dar es salaam wamekuwa na matumaini makubwa hasa kutokana na mladi huo kuwa na spidi kali kama inavyoonekana katika picha leo mchana.(AWADH IBRAHIM)

SOURCE: MJENGWA BLOG

No comments:

Post a Comment