WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Tuesday, May 20, 2014

ANGALIA PICHA MAELFU WAMZIKA ADAM KUAMBIANA KINONDONI DAR


Mashada yakiwa tayari juu ya kaburi la marehemu Adam Philip Kuambiana, muda mfupi baada ya shughuli za maziko kukamilika.
Jacob Steven 'JB', akiweka shada kwenye kaburi. 
Msanii wa fialmu Bongo, Mariam akiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Kuambiana.
Mwili wa marehemu Kuambiana ukiwasili makuburini tayari kwa shughuli za kuusitiri.
Jeneza lenye mwili wa marehemu Kuambiana likishushwa kaburini.
Jeneza likishushwa kaburini.
Msanii wa filamu, Richie Richie akiweka udongo kwenye kaburi la marehemu Kuambiana.
Baadhi ya mafundi wakichanganya zege kujengea kaburi.
Mafundi hao wakikamilisha shughuli za kujengea kaburi hilo.
Mchungaji akiweka msalaba kwenye kaburi.
Mke wa marehemu Janeth Rithe ambaye ni Diwani Kata ya Kunduchi (Chadema), akiweka shada la maua kwenye kaburi la mumewe.
Mkurugenzi Mkuu wa Global Publishers Ltd, Eric James Shigongo akitoa salamu za mwisho kwenye mwili wa marehemu Adamu Kuambiana.
Baadhi ya waombolezaji wakiaga mwili wa marehemu.
Msanii wa Filamu Bongo, Flora Mvungi akiaga mwili wa marehemu Kuambiana.
Mtangazaji wa Kipindi cha Jahazi kinachorushwa na Clouds FM, Ephraim Kibonde akipita kuaga mwili wa marehemu Kuambiana.
JB, akiwa chini baada ya kuzidiwa na kudondoka wakati akitoa wasaha wa marehemu Adam Kuambiana.
Baadhi ya mabaunsa na wasanii wenzake wakimnyanyua JB, baada ya kuzidiwa na kudondoka chini.
Msanii wa Filamu Bongo, Jini Kabula akiaga mwili kwa machungu.
Davina akibebwa baada ya kuzidiwa wakati wa kuuaga mwili wa marehemu Adam Kuambiana kwenye Viwanja vya Leaders, Kinondoni jijini Dar es Salaam leo.
Jack Wolper akipita kutoa heshima za mwisho.
CHANZO GPL

No comments:

Post a Comment