WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Tuesday, May 20, 2014

ANGALIA PICHA MWILI WA MAREHEMU ADAMU KUAMBIANA ULIVYOAGWA VIWANJA VYA LEADERS JIJINI DAR


Msanii wa filamu za maigizo nchini kutoka kambi ya Bongo Muvi, aliyejizolea umaarufu miaka ya hivi karibuni, Adam Kuambiana anatarajia kuzikwa leo Mei 20, 2014 katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam alipozikwa msanii mwenzake, Steven Kanumba.

Kwa sasa mwili wa Marehemu  Adam Kuambiana upo katika viwanja vya Leaders Club katika kuagwa na wananchi. 

Wengine nao wapo busy...
CHANZO HABARI NA MATUKIO BLOG

No comments:

Post a Comment