WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Saturday, February 8, 2014

PHOTOZ: YANGA WALIPOWANYOOSHA WACOMORO TAIFA LEO




 Kiungo wa Komorozine Sports, Moidjie Ali akimdhibiti mshambuliaji wa Yanga, David Luhenda katika mchezo wa Ligi ya klabu Bingwa Afrika uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 7-0 


 Wacheaji wa Yanga wakishangilia baada ya kuifunga timu ya Komorozine Sports katika mchezo wa Ligi ya Klabu Bingwa Afrika uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. 
 Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa timu ya Komorozine Sports.
 Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa akimtoka mchezaji wa wa Komorozine Sports, Attouumane Omar katika mchezo wa Ligi ya Klabu Bingwa Afrika uliofanyika kwenye Uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment