WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Monday, February 24, 2014

museveni atia sahihi muswada wa sheria ya mapenzi ya jinsia moja

yoweri-museveni-007 33b7d
Hatimae Rais wa Uganda YOWER KAGUTA MUSEVEN mapema leo mchana ametia sain muswada wa sheria ya mapenzi na ndoa za jinsia moja, ambapo sasa raia wa uganda atakae patikana na kosa hilo atatahukumiwa kifungo cha maisha jela. Museveni amesisistiza kwamba ametia sain muswada huo kwa kuzingatia kwamba suala ushoga na usagaji   si udhaifu wa kimaumbile wakuzaliwa nao  bali ni tabia ya kujifunza.(Hudugu)

source: mjengwa blog

No comments:

Post a Comment