WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Wednesday, February 5, 2014

MTIBWA SUGAR 1 - 1 SIMBA SC FULL TIME


Dakika ya 90, Mtibwa 1 -1 Simba. Kiujumla mechi haikuwa ya kuvutia sana kutokana na pitch mbovu ya uwanja wa Jamhuri, mjini Morogoro. Mtibwa wamepata kona dakika ya mwisho ila haikutoa matunda. Mechi imekwisha kwa sare ya bao 1-1
 
source: shaffih Dauda blog

No comments:

Post a Comment