WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Tuesday, July 16, 2013

WANAJESHI WALIOUWAWA DAFUR WAAAGWA,KUREJESHWA NCHINI


  Mojawap0 ya magari ya askari hao likiwa limeharibika vibaya kutokana na shambulio hilo.
 Miili ya wanajeshi saba wa JWTZ waliouawa katika machafuko nchini Sudani, Darfur.  Askari hao walifariki wakiwa kwenye vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa huko nchini humo.  Majina yao ni (1)Sajenti Shaibu Othuman, (2)Koplo Oswald Chaula, (3)Koplo Mohamed Juma, (4)Koplo Mohamed Chikilizo, (5)Pte. Rodney Ndunguru, (6)Pte. Peter Werema na (7)Pte. Fortunatus Msofe
Askari wa jeshi la wananchi wa Tanzania wanaolinda amani nchini Darfur
 On 14 July 2013, following a 13 July attack in which seven military peacekeepers of the African Union - United Nations Mission in Darfur (UNAMID) were killed and 17 military and Police personnel wounded, among them two female Police Advisers, Joint Special Representative Mohamed Ibn Chambas visited the wounded peacekeepers at UNAMID’s hospital in Nyala to provide encouragement and support.
Picha juu na chini Askari wa Tanzania wa Kikosi cha Kulinda Amani Darfur wakiwa wamelazwa mjini Khor Abeche, Sudan juzi baada ya kunusurika kuuawa katika shambulizi lililofanywa na waasi na kusababisha wenzao saba kuuawa na wengine 14 kujeruhiwa.
Capt. John Kivunge, a Tanzanian Staff Officer with JOC, reads a program of the brief ceremony

He wished quick recovery for the injured soldiers, saying: “I don’t have a lot of words to express my shock and sadness on the soldiers who died while on a very important mission of United Nations, on keeping peace in an area where thousands of people have been killed…” Mr. Kikwete said in a statement issued by the Directorate of Presidential Communications yesterday, adding; “since the fallen servicemen and women were deployed in Darfur in February this year and since Tanzania  started deploying troops in 2007, they have done a good work and the country is proud of them”.
Top Sector leadership led by Mr. Hussain (3rd R) -
UNAMID JSR Dr. Mohamed Ibn Chambas along with Acting Force Commander Lt. Gen. Wynjones Kisamba and Police Commissioner Ms. Hester Adriana Paneras visited the other 17 injured peacekeepers at the same Hospital yesterday. The Mission leadership and the UNSG Ban Ki-moon have condemned the act and called for the Government of Sudan to bring the perpetrators of the “heinous” act to justice.Meanwhile, according to press reports, Tanzanian President JakayaKikwete expressed his deep shock following the incident and he sent condolences to the Tanzania People’s Defense Forces (TPDF) and the bereaved families.
Maj. Elinami Moshi reads brief CVs of the deceased to the top brass

 Prayers from an Imam for the fallen peacekeepers
 Prayers from another  chaplain
 Prayers from a chaplain
Military salute as the 'Last Post'  rings out by Nigbatt in honour of the fallen heroes

  The African Union – United Nations Mission in Darfur (UNAMID), held a memorial ceremony, in Nyala, the capital of South Darfur, to honor the seven fallen peacekeepers who lost their lives in the 13 July attack in South Darfur. The bodies are scheduled to be repatriated to Tanzania, the home country of the fallen peacekeepers. In addition to the seven killed, 17 military and police personnel were wounded, among them two female Police Advisors, all of whom are recovering from their injuries in UNAMID’s hospital in Nyala, South Darfur. Photo by Saidi Msonda, UNAMID.
 A section of the top brass
 A portion of  staff members at the ceremony

The TPDF Spokesperson, Lt. Col. KapambalaMgawe, said during a press conference yesterday that a special delegation has been sent to Khartoum and Darfur to talk with the authorities over the incident. Tanzania has a battalion of about 850 peacekeepers in Darfur located at Khor Abeche and Menawashi, South Darfur State.
 Miili ikiweka kwenye gari maaalum tayari kwa safari ya kurejea nchi Tanzania
Start of the last journey home.Photos by Albert González Farran, UNAMID.
 
source: Haki Ngowi

No comments:

Post a Comment