WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Thursday, July 11, 2013

Mama wa mkongwe wa Hip Hop nchini Joseph Haule "Profesa Jay" Amefariki Dunia


prof Jy 08a67
Tunatoa salaam zetu za rambirambi kwa mkongwe wa Hip Hop nchini, Joseph Haule "Profesa Jay" kwa kumpoteza mama yake mzazi Rosemary Majanjara katika ajali ya gari maeneo ya Mbezi mwisho. Tunaipa pole familia na ndugu zake wa karibu katika kipindi hiki kigumu.

source: 

No comments:

Post a Comment