WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Saturday, January 25, 2014

YANGA YAANZA MZUNGUKO WA PILI KWA KUTOA KIPIGO - YAICHAPA ASHANTI 2-1

 Raha ya ushindi.....Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao pili la timu hiyo dhidi ya Ashanti United.
 Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao pili la timu hiyo dhidi ya Ashanti United, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 2-1. Kutoka kushoto ni Frank Domayo, Simon Msuva na David Luhende. Yanga imeshinda 2-1.
 Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao la ushindi wa timu yao dhidi ya Ashanti United. 
 Idd Seleman wa Ashanti United akimiliki mpira huku akizongwa na mchezaji wa Yanga, Simon Msuva.
 Davidi Luhende wa Yanga akiipangua ngome ya Ashanti wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo.
 David Luhende akimtoka Hussein Mkongo wa Ashanti wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara.
 David Luhende wa Yanga, akipiga mpira uliozaa bao la pili la timu yake. Huku Hussein Mkongo (kulia), akiwa hana la kufanya.
Benchi la ufundi la Yanga likiongozwa na  Kocha Mkuu, Hans Van Der Pluijm (kulia), Kocha Msaidizi, Charles Boniface na Kocha wa Makipa Juma Pondamali.
Moja ya heka heka zilizotokea katika lango la Yanga.
Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm akitoa maelekezo kwa wachezaji wake.
 Kocha wa Ashanti, Abdallah Kibaden akitoa maelekezo kwa wachezaji wake.
Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm akibadilishana mawazo na David Luhende wakati wa mapumziko.
 
source: Shaffih Dauda Blog

No comments:

Post a Comment