WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Monday, June 9, 2014

JK MSIBANI KWA MZEE SMALL


Rais Jakaya Kikwete akiwasili nyumbani kwa marehemu Mzee Small eneo la Tabata, Mawenzi Dar kuwapa pole wafiwa. Kulia ni Rais wa TAFF, Simon Mwakifwamba.
Msanii mkongwe wa maigizo, Mashaka akiwa msibani na Zamaradi Mketema.
Wasanii wa Bongo Muvi, Shamsa Ford, Shija Deogratius, Cathy na Sandra wakiungana na waombolezaji.
Mohammed Fungafunga 'Jengua' akiwa msibani.
Rais wa TAFF, Simon Mwakifwamba akibadilishana mawazo na Habib Mrisho 'Sumaku'.
Rais Kikwete akiondoka baada ya kuwapa pole wafiwa.

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Jakaya Kikwete amewasili nyumbani kwa marehemu Mzee Small, Tabata, Mawenzi  jijini Dar na kutoa pole kwa wafiwa.
Baada ya kutoa pole Rais aliaga na kuondoka huku akiacha umati wa waombolezaji waliokuwa msibani hapo wakisubiri kumpumzisha Mzee Small katika nyumba yake ya milele.
CHANZO NI GPL 

1 comment:

  1. Take the case of Shannon whose car was struck from behind while
    sitting in traffic. A higher salary may not go very far in a city with higher transportation, food, energy, housing and health care costs.
    Both the client and the lawyer have to like each other right away.


    Review my web site ... toronto personal injury firms (wikigramas.org)

    ReplyDelete