WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Monday, September 15, 2014

RAIS DKT. SHEIN APOKELEWA COMORO

IMG_4092RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI DK.ALI MOHAMED SHEIN AKISALIMIAANA NA BALOZI COMORO NCHINI TANZANIA ALIPOWASILI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA COMORO AKIWA KATIKA ZIARA YA KISERIKALI AKIWA AMEFUATANA NA MKEWE MAMA MWANAMWEMA SHEIN NA VIONGOZI MBALI MBALI [PICHA NA RAMADHAN OTHMAN,IKULU.]

IMG_4102RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI DK.ALI MOHAMED SHEIN  AKIWA NA MAKAMO WA KWANZA WA RAIS WA COMORO MOAMED  ALI SOILIHI WAKATI WIMBO WA TAIFA WA JAMHURI YA MUUNGANO WAA TANZANIA NAWIMBO WA MUUNGANO WA COMORO UKIPIGWA 

[PICHA NA RAMADHAN OTHMAN,IKULU.]

source: matukiotz.com

No comments:

Post a Comment