WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Monday, September 15, 2014

BREAKING NEWZZ-- SAFU MPYA YA UONGOZI CHADEMA,MBOWE AFUNIKA TENA


Uchaguzi wa viongozi wakuu wa chama cha Democrasia na maendeleo CHADEMA umemalizika hapa katika ukumbi wa mliman city ambapo mwenyekiti wake FREMAN MBOWE ameshinda tena kiti hicho kwa kishindo na kutangazwa kuwa mwenyekiti mpya wa chama hicho kwa miaka mingine mitano
maotokeo ni kama ifuatavyo
NAFASI YA UENYEKITI---
FREMAN MBOWE---KURA --789
GAMBARANYERE MWANGATEKA---KURA--20

NAFASI YA MAKAMU MWENYEKITI BARA
PROFESA ABDALA SAFARI---KURA--775

NAFASI YA MAKAMU MWENYEKITI ZANZIBAR

SAID ISSA MOHAMED---KURA--645
HAMAD MUSSA YUSUPH--163
Hivyo aliyekuwa mwenyekiti wa uchaguzi huo ALEX KISURURA  amemtangaza mh FREMAN MBOWE kuwa mwenyekiti huku PROFESA SAFARI akichukua nafasi ya makamu mwenyekiti upande wa bara na SAID ISSA MOHAMED kuchukua nafasi ya makamu mwenyekiti upande wa zanzibar.

CHINI KUNA PICHA ZA BAADA YA USHINDI








No comments:

Post a Comment