WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Sunday, September 14, 2014

ANGALIA PICHA MKUTANO WA CHADEMA ULIOFANYIKA LEO

 
Gari ya mwenyekiti wa CHADEMA mh MBOWE ilipokuwa ikiwasili katika ukumbi wa mkutano mkuu wa chama hicho ambao umefanyika mlimani city
 



Shekh Rajab Katimba mwenyekiti wa jumuiya ya taasisi za kiislam Tanzania akiwa katika mkutano huo


MH MANGULA makamu mwenyekiti wa CCM ambaye alimwakilisha mwenyekiti wa ccm MH JAKAYA MRISHO KIKWETE katika mkutano huo.


Wawakilishi wa taifa la china wakiwa katika mkutano huo

Dua











Muasisi wa CHADEMA mzee EDWIN MTEI alikuwepo katika mkutano huo




Wawakilishi wa mataifa mbalimbali kamaUINGEREZA

Mke wa katibu mkuu wa chadema pamoja na mke wa mwanasheria mkuu wa CHADEMA TUNDU LISU.Na Habari24

source: matukiotz.com

No comments:

Post a Comment