WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Sunday, August 3, 2014

EMMANUEL P. MYAMBA A.K.A "PASTOR MYAMBA" ABADILISHA MWELEKEO WA MAISHA

Pastor Myamba Leo Tarehe 02- Agosti 2014 ameamua kwa hiari yake mwenyewe kubadilisha mwelekeo wa maisha pale alipokubalia na mwenzi wake kuanza kuishi maisha ya mume na mke, harusi ya kufana sana iliyofanyika huko visiwani Zanzibar;

Hebu angalia baadhi ya picha habari zaidi itawajia punde.














No comments:

Post a Comment