WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Sunday, August 19, 2012

TUNAWATAKIA WATANZANIA WOTE SHEREHE NJEMA YA EID


SALA YA EID KITAIFA ZANZIBAR 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, akijumuika na Waislamu, wananchi  na VCiongozi mbali mbali katika Sala ya Iddi El Fitr iliyosaliwa  Kitaifa katika Msikiti wa Mwembeshauri Mjini Zanzibar leo. Wengine ni Makamu wa Pili wa Rais, Seif Sharif Hamad
       Waumini wakiwa kwenye Sala hiyo ya Eid mjini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein,  akisalimiana na watoto wa Kiislamu walioshiriki katika Sala ya Iddi el Firti iliyowajumuisha waislamu kutoka mitaa mbali mbali katika Mji wa Zanzibar,na kusaliwa Kitaifa katika Msikiti wa Mwembeshauri Mjini Zanzibar leo. 

                        Picha na Ramadhan Othman IKulu.

No comments:

Post a Comment