WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Thursday, December 8, 2011

TUNAWATAKIENI KILA LA KHERI KATIKA KUSHEREKEA MIAKA 50 YA UHURU



kwa niaba ya Ukadirifu.blogspot.com na mungupamojanasi.blogspot.com na manajementi nzima, inawatakia Wananchi wa Tanzania na Rais wa Serikali ya Jamuhuri Ya Muungano Tanzania kusherekea kwa furaha na amani shehere ya kutimiza miaka 50 ya uhuru wa Taifa letu.

Leo ni siku kubwa kwa Taifa letu  ni wakati mzuri wa kutafakari mafanikio na mapungufu ya utendaji na uwajibikaji wa kila mtu katika nafai yake.


Swali la msingi je taifa letu baada ya miaka 50 litaendelea kuwa moja tutaendelea kusimama pamoja tukumbuke kuwa Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu.

Hii ni siku kubwa kama Taifa inatupasa kumshukuru Mungu kwa upendelo wake kwa taifa letu.

Mungu Ibariki Tanzania

UKADIRIFU NA MUNGUPAMOJANASI MANAGEMENT


No comments:

Post a Comment