WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Thursday, April 5, 2012

ARUMERU MASHARIKI WAMEFUATA BUSARA ZA BABA WA TAIFA?


Marehemu Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alikuwa anawaasa wananchi
kuchagua viongozi wanaowajaliwaache kuchagua viongozi kwa ushabiki wa vyama;
je sifa stahiki za viongozi bora zilitumika Arumeru mashariki?

Asante sana Marehemu Baba wa Taifa kwa ushauri mzuri ni kazi yetu sisi wenye nafasi za kuwaelimishawananchi kwa faida yako


No comments:

Post a Comment