WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Friday, November 4, 2011

TAFSIRI YAKO IMEKAAJE KATIKA PICHA HII

Je picha hii ya viongozi wetu wa juu wa serikali unaweza ukaitolea maelezo gani? Au wanatafakari nini viongozi wetu huku wakitabasamu?


  • Je wanafurahia miaka Hamsini ya Uhuru na wamefanikiwa kuanzisha mchakato wa Kuandikwa kwa katiba upya?




  • je wanafurahia kufanikiwa kuwawajibisha viongozi wa serikali ambao wamekuwa na tabia ya kutumia madaraka vibaya?




  • je wanapanga mikakati ya namna ya kupunguza ugumu wa maisha kwa watanzania




  • Au lolote na liwe kazi na dawa, ngoja tucheke kidogo tupunguze "stress" za kazi ili tukirudi ofisini tuwe fresh na tutawajibika ipasanya katika kutekeleza kauli mbiu ya maisha bora kwa kila mtu kupitia   kasi,nguvu na ari mpya?



No comments:

Post a Comment