WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Thursday, July 19, 2012

JK Na Mama Salma Kikwete Watua Zanzibar Kutoa Rambirambi




Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakimsikiliza Bw.  Kitwana Makame Haji, mmoja wa majeruhi walionusurika katika ajali ya meli waliolazwa katika hospitali kuu ya Mnazi Mmoja mjini Unguja jioni ya leo.
Rais Jakaya Kikwete akimpa pole Bi Salome Abeli, mfanyakazi wa Tanzania Automic Energy Commission jijini Arusha, aliyekuwa njiani kuelekea Pemba kikazi kabla ya kupatwa na ajali hiyo ya meli. Amesema hali yake inaendelea vyema hapo katika hospitali kuu ya Mnazi Mmoja.
Rais Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipita mbele ya miili ya waliokufa katika ajali hiyo ya meli jana karibu na kisiwa cha Chumbe. Hapa ni uwanja wa Maisara ambako miili huletwa kwa kutambuliwa.


No comments:

Post a Comment