WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Saturday, May 26, 2012

NIMEIPENDA HII NUKUU

Je nukuu hii ya Baba Wa Taifa ina ukweli wowote katika  maisha ya Watanzania leo?

Ni jambo la busara tukiendelee Kumwenzi kwa fikra zake na maono (vision) za kizalendo kwa Taifa la Tanzania na wananchi wake;


No comments:

Post a Comment