WHATEVER YOUR ARE BE A GOOD ONE;

A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy

“Taifa letu – taifa lolote – ni zuri na mahali pazuri pa kuishi kama raia wake watalifanya liwe hivyo. Uongozi wake unaweza kuwa mzuri, mbaya au usiojali lakini kama watu wake wameamka (ki-elimu?) na wanajitambua, haitachukua muda mrefu kuwakilisha mtazamo wa jamii na kubadili mawazo na matumaini ya taifa.” Julius Kambarage Nyerere


Saturday, May 19, 2012

JE KILIMO CHA TANZANIA NI UTI WA MAENDELEO YA WANANCHI?


 Kilimo katika mataifa mengi yalionaviwanda vingi kwa sasa kilikuwa ndio 
chimbuko la ukuajiwa uchumi; waingereza walifanikiwa kuleta mapinduzi ya viwanda baada ya kujiimarisha na kuleta mapinduzi ya kilimo

kwa kipindi kirefu sasa nchi yetu pamoja na kuwa ardhi yenye rutuba nzuri na hali ya hewa nzuri kwa mikoa mingi tumeendelea kuwa omba omba wa chakula  na mbaya zaidi wanachi wetu wanaendelea na uhaba wa chakula hata katika mikoa ili yenye kila neema ya kilimo.

  • Je tatizo letu hasa ni nini?
  • Je wanasiasa wanajitetea vipi kuhusu hili?
  • Nini kifanyike kuondoa tatizo hili la kuwa ombaomba hata katika vitu ambavyo tunaiweza?


HEBU TUWASIKILIZE WANASIASA NA MAELEZO YAHO KUHUSU TATIZO NA MAFANIKIO YA KILIMO HUSUSA NDANII YA NCHI YETU





No comments:

Post a Comment